Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Nyumba Bora na Vifaa vya Ujenzi
Tarehe : 20 Jan 2017
labels.lbl_author : NBRA
Leo tarehe 20/01/2017 Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imetembelea Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Nyumba Bora na Vifaa vya Ujenzi (NHBRA) ili kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na Wakala. Kamati hii iliongozwa na Mwenyekiti wake Mh. Mbunge Ndg Atashasta Nditiye akiambatana na wajumbe wake na kupokelewa Naibu Wazir wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. Angelina Mabula pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa NHBRA Ndg.Matiko Samson Mturi.
Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Nyumba Bora na Vifaa vya Ujenzi
Po Box 1964
Mwenge, Dar es Salaam
Nukushi : +255222774003
Simu: +255222771971
Barua pepe: dg@nhbra.go.tz, dawatilamsaada@nhbra.go.tz